Simba - Yanga - Local

Robertinho atamba, dabi haimsumbui

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Apr 2023
Robertinho atamba, dabi haimsumbui

Mechi ya Kariakoo Dabi Aprili 16 itakuwa ni ya kwanza kwa Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira, mwenyewe amesema anaisubiri mechi hiyo kwa hamu

Wakati akiinoa Vipers Fc, Robertinho amewahi kukutana na Yanga katika mechi ya kirafiki katika kilele cha Wiki ya Mwananchi na kubuka na ushindi wa mabao 2-0

Robertinho amesema anatambua ukubwa wa mechi ya dabi inayozikutanisha Simba na Yanga, lakini kamwe hawezi kuingia presha ya mchezo huo na kwamba anausubiri kwa hamu ili timu yake ionyeshe ubora walionao

"Presha juu ya Yanga? Hapana siwezi kuwa na hali hiyo kabisa kwanza mimi napenda mechi kama hizi ambazo mashabiki wanajaa uwanjani na kuwa na msisimkjo mkubwa"

"Nimeshashinda mechi kubwa katika Uwanja kama Mracana kule kwetu Brazil ukiwa umejaa," alisema Robertinho

"Tunaiheshimu Yanga lakini hata sisi tunaitaka hii mechi ili tuthibitishe ubora wetu mbele ya mashabiki wetu jambo zuri imekaa sehemu nzuri kwani kama tukishinda basi tutakuwa tumefanya maandalizi mazuri na kuongeza morali kuelekea mechi ijayo ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Wydad Casablanca"

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
15h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
21h ago
READ MORE β†’