Inter Milan - Benfica - International

Lukaku afunga Inter ikiichapa Benfica 2-0 UEFA

Joel JJ By Joel JJ
β€’
12 Apr 2023
Lukaku afunga Inter ikiichapa Benfica 2-0 UEFA

Inter Milan walitumia dakika 45 za kipindi cha pili kupata ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya benfica na kujiweka katika nafasi nzuri ya kutinga nusu fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya

Nico Barella na Romelu Lukaku walifunga mabao hayo yanayowaweka mbele Inter kuelekea mechi ya mkondo wa pili utakaopigwa Italia wiki ijayo

Barella alifunga kwa kichwa katika dakika ya 51, akimalizia krosi nzuri kutoka kwa beki wa kati Alessandro Bastoni, ambaye alikuwa akishambulia upande wa kushoto

Lukaku aliyetokea benchi, alifunga penalti dakika ya 82 baada ya VAR kuelekeza mpira uliogonga mkono wa nahodha wa Benfica Joao Mario 

Mabao hayo mawili yanaipa Inter faida kubwa katika mchezo wa marudiano utakaopigwa San Siro Jumatano ijayo, ambapo watakuwa na nafasi kubwa ya kutinga nusu-fainali ya Italia dhidi ya majirani zao AC Milan au Napoli

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
3h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
3h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
3h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
7h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
10h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
11h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
11h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
12h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
13h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
14h ago
READ MORE β†’