Bayern Munich wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane, 29, kutoka Tottenham msimu huu wa joto, hata hivyo Manchester United wapo mstari wa mbele kumnyakua kwa sababu mchezaji huyo anataka kusalia katika Ligi ya Premia. (Mirror)
..... download Xtra 90 App



