Simba - Yanga - Local

Simba yaichapa Yanga 2-0

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Apr 2023
Simba yaichapa Yanga 2-0

Wekundu wa Msimbazi Simba Sc leo wametakata uwanja wa Benjamin Mkapa mbele ya watani zao Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC

Simba iliingia kwenye mchezo huo leo ikiwa na dhamira ya kusaka ushindi, na iliwachukua dakika mbili tu kufunga bao la kuongoza kupitia kwa Hennock Inonga akitumia vyema makosa ya safu ya ulinzi ya Yanga baada ya mpira wa kona

Kibu Denis akaiongezea Simba bao la pili kwenye dakika ya 32 akikiga shuti kali kutoka takribani mita 25 na kumshinda mlinda lango wa Yanga Djigui Diarra

Simba ilikuwa hatari kupitia mashambulizi ya kushitukiza na pengine walistahili kwenda mapumziko wakiwa na uongozi mnono zaidi kutokana na mfululizo wa mashambulizi waliyotengeneza

Kipindi cha pili Yanga ilirejea ikiwa imara zaidi hasa baada ya kuwaingia Stephane Aziz Ki na Mudathir Yahya lakini haikuwa rahisi kwao kuweza kuipenya ngome ya Simba ilikuwa chini ya Hennock Inonga na Joash Onyango huku mlinda lango chipukizi Ali Salim akiwa bora katika mechi yake ya kwanza ya derby

Simba imefufua matumaini katika mbio za ubingwa ikifikisha alama 63 sasa wakiwa nyuma kwa tofauti ya alama tano dhidi ya Yanga iliyobaki na alama 68

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
29m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
41m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’