Azam Tv yamponza kocha Ruvu Shooting

Joel JJ By Joel JJ β€’ 17th April 2023


Azam Tv yamponza kocha Ruvu Shooting

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtoza faini ya Tsh Milioni 1 kocha msaidizi wa Ruvu Shooting Renatus Shija kwa kukataa kufanya mahojiano na mtangazaji wa Azam TV baada ya kumalizika kwa mchezo dhidi ya Tanzania Prisons


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.