Mbeya - Local

Spika Dk Tulia ajitosa kuinusuru Mbeya City

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Apr 2023
Spika Dk Tulia ajitosa kuinusuru Mbeya City

Spika wa Bunge la Tanzania Dk Tulia Ackson ametoa Sh2 milioni kwa timu ya Mbeya City ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo kuelekea mchezo dhidi ya Kagera Sugar Aprili 23

Fedha hizo zimetolewa leo Aprili 18, 2023 wakati wa Chakula cha mchana kilichoandaliwa na Spika kwa wachezaji wa Mbeya City jijini Dodoma wakiwa safarini kuelekea Bukoba kwa ajili ya mechi itayochezwa uwanja wa Kaitaba

Akikabidhi zawadi hiyo kwa niaba ya Dk Tulia, mbunge Lupa Chunya Masache Kasaka kwa kushirikiana na wabunge wa Mbeya nao wametoa Sh1 milioni na kufanya jumla kuwa Sh3 milioni.

Wabunge hao pia wameahidi kununua ushindi kwa timu ya Mbeya City kwa kila mechi zilizosalia kwenye ligi Kuu ya Tanzania inayoendelea

Hivi karibuni Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' aliahidi kutoa Tsh Milioni 1 kwa kila bao la ushindi litakalofungwa na Mbeya City katika mechi zilizobaki

Mbeya City inashika nafasi ya 13 kwenye msimamo wa ligi kuu ya NBC ikiwa na alama 27 ikiwa ni alama saba juu ya eneo la kushuka daraja

Hata hivyo kama watamaliza katika nafasi hiyo, watacheza play-off

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
21h ago
READ MORE β†’