Manchester City - Bayern Munich - International - Inter - Benfica

Man City, Inter zatinga nusu fainali UEFA CL

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Apr 2023
Man City, Inter zatinga nusu fainali UEFA CL

Mechi za mkondo wa pili robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya zilihitimishwa usiku wa kuamkia leo ambapo Manchester City na Inter Milan zimejihakikishia tiketi ya kutinga nusu fainali zikiungana na AC Milan na Real Madrid

Ikiwa ugenini huko Ujerumani, Man City ilifanikiwa kuitoa Bayern Munich kwa aggregate ya 4-1 baada ya kuilazimisha sare 1-1 katika uwanja wa Allianz Arena

Man City ilishinda mabao 3-0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa Uingereza

Inter Milan pia wakafuzu kucheza hatua ya nusu fainali kwa kuwaondoa Benfica ya Ureno kwa aggregate ya 5-3 baada ya sare ya mabao 3-3 kwenye mchezo wa mkondo wa pili uliopigwa San Sirro

Inter Milan walishinda mabao 2-0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa Ureno

Sasa nusu fainali ni AC Milan dhidi ya Inter Milan na Real Madrid dhidi ya Man City, mechi za mkondo wa kwanza zitachezwa Mei 9 2023 na marudiano ni Mei 16 2023.

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
40m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
52m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’