Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeweka hadharani ratiba ya mechi za nusu fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)
Mchezo wa kwanza wa nusu fainali kati ya Azam Fc dhidi ya Simba utapigwa May 06 uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara na mchezo wa pili kati ya Singida BS dhidi ya Yanga utapigwa May 07 uwanja wa LITI, Singida
