Polisi Tanzania - Ihefu - Local

Polisi Tanzania kusaka ushindi dhidi ya Ihefu Fc leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 Apr 2023
Polisi Tanzania kusaka ushindi dhidi ya Ihefu Fc leo

Mikiki mikiki ya Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo raundi ya 27 ambapo maafande wa Polisi Tanzania watakuwa nyumbani dimba la Ushirika kuumana na Ihefu Fc

Polisi Tanzania iko mkiani kwenye msimamo wa ligi ikikusanya alama 19 baada ya mechi 26

Njia pekee kwa Polisi Tanzania kujinusuru kuteremka daraja ni lazima washinde mechi zote nne zilizosalia huku pia wakiwaombea mabaya wapinzani wao wanaochuana nao chini ya msimamo

Hata hivyo wanakutana na Ihefu Fc ambayo inashika nafasi ya saba ikihitaji ushindi ili izidi kusogea juu kwenye msimamo wa ligi na kujiongezea mapato kutoka kwa Wadhamini

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
3h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
3h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
3h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
7h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
10h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
11h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
12h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
12h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
13h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
14h ago
READ MORE β†’