Polisi Tanzania imeanza mapambano ya kujinusuru kuteremka daraja leo wakipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu Fc katika mchezo uliopigwa uwanja wa Ushirika, Moshi
Mabao mawili ya Kelvin Sabato yalitosha kuihakikishia Polisi Tanzania alama tatu ambazo zimewasogeza mpaka nafasi ya 15 wakifikisha alama 22
Ihefu Fc walitangulia kufunga kupitia kwa Adam Adam, hata hivyo vijana wa Mwinyi Zahera walicheza vyema dakika 30 za mwisho na kujihakikishia ushindi huo




