Mayele aweka rekodi ya kibabe Yanga

Joel JJ By Joel JJ β€’ 24th April 2023


Mayele aweka rekodi ya kibabe Yanga

Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele amefikisha mabao 50 katika mashindano yote tangu alipojiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara mwaka 2021

Jana Mayele alifunga bal lake la 49 na 50 katika uwanja wa mabao 2-0 dhidi ya Rivers United katika mchezo wa mkondo wa kwanza robo fainali ya kombe la Shirikisho la CAF

Msimu huu Mayele amefunga mabao 31 katika mashindano yote wakati msimu uliopita alifunga mabao 19

Ndiye kinara wa ufungaji katika ligi kuu ya NBC akiwa na mabao 16 pia akiongoza mbio za kuwania ufungaji bora kombe la Shirikisho akiwa na mabao 5

Kwa hakika Wananchi wanajivunia, mmoja ya washambuliaji bora kabisa kuwa kuwahi kutumikia Yanga


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.