Baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Wydad Casablanca kwenye mechi ya robo fainali ya mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Mkuu wa Simba, Robertinho Oliveira, amesema kazi bado haijamalizika na wataenda na sura mpya katika mchezo wa marudiano utakaopigwa Ijumaa nchini Morocco
..... download Xtra 90 App



