Manchester United wanaimarisha juhudi zao za kumsajili mshambuliaji wa Tottenham Hotspur Harry Kane msimu huu wa joto, huku nahodha huyo wa Uingereza mwenye umri wa miaka 29 akitarajiwa kutosaini mkataba mpya na klabu yake ya utotoni. (Telegraph)
..... download Xtra 90 App



