Nyota ya nahodha wa timu ya Taifa Tanzania na mshambuliaji wa klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta imeendelea kung'ara baada ya juzi kufunga bao moja kwenye sare ya 2-2 dhidi ya Charleroi kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Ubelgiji
..... download Xtra 90 App



