Sheffield United yarejea Premia Uingereza

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th April 2023


Sheffield United yarejea Premia Uingereza

Sheffield United imerejea tena Ligi Kuu England usiku wa jana baada ya kuichapa West Brom mabao 2-0 kwenye Championship

Sheffield ilishuka daraja mwaka 2021 na imeenda kujitafuta hivyo itakuwa ndani ya EPL 2023/24 huku ikisubiri timu moja kutoka Championship itakayocheza hatua ya mtoano

Wameungana na Burnley ambao walikuwa wa kwanza kujihakikishia kucheza Premia msimu ujao

Burnley inanolewa na nahodha wa zamani wa Manchester City, Vicent Kompany


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.