Maafisa wa Real Madrid watasafiri hadi Ujerumani wiki hii katika jitihada za kumshawishi kiungo wa kati wa Borussia Dortmund na Uingereza Jude Bellingham, 19, kujiunga na klabu hiyo ya Uhispania msimu huu wa joto. (Marca kwa Kihispania)
..... download Xtra 90 App



