Rivers United watua kuikabili Yanga

Joel JJ By Joel JJ β€’ 28th April 2023


Rivers United watua kuikabili Yanga

Msafara wa kikosi cha Rivers United, umewasili nchini Alfajiri ya leo Ijumaa kuelekea mchezo wa mkondo wa pili robo fainali ya kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga

Mchezo huo utapigwa Jumapili, April 30 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, saa 1 usiku

Wakati Rivers wakiwasili, kikosi cha Yanga kiko kambini kikiendelea na maandalizi ya mchezo huo ambao Yanga inahitaji ushindi au matokeo yoyote ya sare ili kutinga nusu fainali

Yanga ilishinda mabao 2-0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa UYO, Nigeria


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.