Kutokana na tukio la kukatika kwa Umeme kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jana wakati wa mchezo wa mkondo wa pili robo fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Yanga dhidi ya Rivers United, Serikali imechukua hatua ya kuwasimamisha kazi Wasimamizi wa uwanja ili kupisha uchunguzi wa tukio hilo ambalo limetokea kwa mara ya pili katika kipindi cha wiki sita
..... download Xtra 90 App



