Azam - Local

Azam Fc yashusha kocha Msenegal

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 May 2023
Azam Fc yashusha kocha Msenegal

Klabu ya Azam Fc imemtambulisha kocha Mkuu Mpya raia wa Senegal Youssouph Dabo, ambaye ataanza majukumu yake kuanzia Msimu ujao wa 2023/24

Dabo, amesaini mkataba wa miaka mitatu mchana wa leo mbele ya Mtendaji Mkuu wa Azam Fc Abdulkarim Amin 'Popat'

Azam Fc imejipanga kukisuka upya kikosi, wakimpa kocha huyo muda wa kuiangalia timu na kufanya maboresho muhimu kabla kuanza majukumu yake wakati ya pre-season kuelekea msimu ujao

Azam tayari imejihakikishia tiketi ya kushiriki michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika msimu ujao

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’