Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesogeza mbele mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) kati ya Singida Big Stars dhidi ya Yanga SC uliopangwa kuchezwa Mei 7, 2023 katika dimba la Liti Singida mpaka utakapopangiwa tarehe nyingine.
..... download Xtra 90 App



