Barcelona - Real Madrid - International

Barcelona yahitaji alama 2 La Liga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 May 2023
Barcelona yahitaji alama 2 La Liga

Goli la dakika ya 85 lililofungwa na Jordi Alba liliihakikishia Barcelona ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Osasuna na kukaribia kushinda taji la La Liga msimu huu

Wakati Barcelona ikiibuka na ushindi, mahasimu wao Real Madrid wakakumbana na kipigo wasichokitarajia ugenini kutoka kwa Real Sociedad wakifungwa mabao 2-0 

Ni matokeo ambayo yameifanya kazi ya Barcelona kuwa bingwa msimu huu kuwa rahisi kwani sasa wanahitaji alama mbili tu kutoka mechi tano zilizosalia

Barcelona imefikisha alama 82 kileleni mwa msimamo wakati Real Madrid ina alama 68 katika nafasi ya pili

 

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
5h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
5h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
9h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
13h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
15h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
16h ago
READ MORE β†’