Yanga - Singida - Local

Singida BS vs Yanga uso kwa uso uwanja wa LITI leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
4 May 2023
Singida BS vs Yanga uso kwa uso uwanja wa LITI leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo kwa mchezo mmoja kupigwa ambapo mkoani Singida walima alizeti wa Singida BS watakuwa uwanja wao wa nyumbani LITI kuchuana na mabingwa watetezi Yanga

Singida BS wako katika vita ya kuwania nafasi ya tatu hivyo ni wazi watazihitaji alama zote tatu mbele ya Yanga ili kurejea nafasi hiyo ambayo kwa sasa inashikiliwa na Azam FC

Hata hivyo wanachuana na Yanga ambayo hesabu imeelekeza kwenye kutetea ubingwa kwa msimu wa pili mfululizo

Kimahesabu Yanga inahitaji kushinda mechi mbili tu kati ya nne zilizosalia ili kutetea ubingwa

Kama Wananchi watashinda leo basi watakuwa na deni la alama tatu tu ili kutetea ubingwa wao na wanaweza kufanikisha hilo katika mchezo utakaofuata dhidi ya Dodoma Jiji ambao utapigwa dimba la Azam Complex, jijini Dar es salaam

Baada ya watani zao Simba kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Namungo Fc jana, Yanga inaweza kunufaika na kuteleza huko kwa watani zao kama itashinda leo

Mchezo utapigwa saa 10 jioni katika uwanja wa LITI

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
30m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
42m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’