Kocha, Mwenyekiti Kitayose wafungiwa maisha

Joel JJ By Joel JJ β€’ 12th May 2023


Kocha, Mwenyekiti Kitayose wafungiwa maisha

Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF limewafungia kujihisisha na mpira Mwenyekiti wa Klabu ya Kitayose inayoshiriki Ligi daraja la kwanza Championship Yusuph Kitumbo na Ulimboka Mwakingwe baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la upangaji wa matokeo

Kitumbo na Ulimboka walihusika na upangajinwa matokeo kwenye mchezo wa Ligi hiyo uliochezwa Aprili 2 Fountain dhidi ya Kitayose


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.