Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF limewafungia kujihisisha na mpira Mwenyekiti wa Klabu ya Kitayose inayoshiriki Ligi daraja la kwanza Championship Yusuph Kitumbo na Ulimboka Mwakingwe baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la upangaji wa matokeo
Kitumbo na Ulimboka walihusika na upangajinwa matokeo kwenye mchezo wa Ligi hiyo uliochezwa Aprili 2 Fountain dhidi ya Kitayose




