Manchester United wanahofia huenda wakakosa kumsajili mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane msimu huu wa joto, huku Spurs wakidhamiria kumbakisha nahodha huyo wa England mwenye umri wa miaka 29 ingawa hivi karibuni atakuwa amesalia na mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake. (Mirror)
..... download Xtra 90 App



