Bodi ya Ligi Kuu yaipongeza Yanga baada ya kutwaa ubingwa

Joel JJ By Joel JJ β€’ 13th May 2023


Bodi ya Ligi Kuu yaipongeza Yanga baada ya kutwaa ubingwa

Bodi ya Ligi Kuu imeipongeza klabu ya Yanga kwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya NBC kwa msimu wa 2022/23

Yanga imetwaa ubingwa huo baada ya kuichapa Dodoma Jiji mabao 4-2 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Azam Complex na kufikisha alama 74 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote kwenye ligi

Ni msimu wa pili mfululizo Yanga inafanikiwa kutwaa ubingwa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.