Polisi - Mtibwa - Local

Polisi Tanzania yaichapa Mtibwa Sugar 3-1

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 May 2023
Polisi Tanzania yaichapa Mtibwa Sugar 3-1

Polisi Tanzania imeendelea kupambana kujinusuru na kushuka daraja baada ya kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo uliopigwa uwanja wa Ushirika

Polisi Tanzania imefikisha alama 25 lakini bado inahitaji alama nne zaidi ili kuweza kuondoka kwenye eneo la kushuka daraja

Ni lazima ishinde mechi mbili zilizosalia dhidi ya Simba na Azam Fc na wakati huo huo ikiziombea Mtibwa Sugar, KMC na Dodoma Jiji zisishinde mechi zao

Ni wazi bado maafande wa Polisi Tanzania wanahitaji muujiza ili kuendelea kubaki ligi kuu

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
39m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
52m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’