Polisi Tanzania yaichapa Mtibwa Sugar 3-1

Joel JJ By Joel JJ β€’ 15th May 2023


Polisi Tanzania yaichapa Mtibwa Sugar 3-1

Polisi Tanzania imeendelea kupambana kujinusuru na kushuka daraja baada ya kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo uliopigwa uwanja wa Ushirika

Polisi Tanzania imefikisha alama 25 lakini bado inahitaji alama nne zaidi ili kuweza kuondoka kwenye eneo la kushuka daraja

Ni lazima ishinde mechi mbili zilizosalia dhidi ya Simba na Azam Fc na wakati huo huo ikiziombea Mtibwa Sugar, KMC na Dodoma Jiji zisishinde mechi zao

Ni wazi bado maafande wa Polisi Tanzania wanahitaji muujiza ili kuendelea kubaki ligi kuu


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.