Ligi ya Mabingwa Ulaya inaendelea tena leo Mei 16, 2023 kwa mchezo mmoja wa mkondo wa pili wa hatua ya nusu fainali huku Miamba ya Italia, Internazionale Milano (Inter Milan) na Associazione Calcio Milan (AC Milan) wakichuana kutafuta tiketi ya fainali
..... download Xtra 90 App



