Simba - Local

Droo Super League kufanyika Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
16 May 2023
Droo Super League kufanyika Tanzania

Kulingana na Mwandishi wa habari kutoka Misri Mohammed Saied, michuano ya CAF Africa Super league itafanyika mwezi Oktoba 2023 ambapo droo ya mechi za awali itapangwa Julai 2023 nchini Tanzania

Kwa mujibu wa Saied, timu zitawekwa kwenye makundi mawili ambapo timu ya kundi moja itapangwa na timu ya kundi la pili ambapo zitacheza mechi mbili

Timu 8 zitakazoshiriki Super League hazitaanzia mechi za awali za michuano ya CAF (Champions League, Confederation Cup) msimu ujao bali wataanzia mzunguko wa pili

Michuano inatarajiwa kuanza katikati ya mwezi Oktoba mpaka mwishoni mwa Novemba 2023

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
53m ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
1h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
2h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
2h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
2h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
2h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
3h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
4h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
15h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
15h ago
READ MORE →