Mshauri wa soka wa Paris St-Germain Luis Campos amekutana na wawakilishi wa mshambuliaji wa Tottenham Hotspur Harry Kane mwenye umri wa miaka 29 kuhusu uwezekano wa mabingwa hao wa Ufaransa kumsajili nahodha huyo wa Uingereza. (Foot Mercato – In French )
..... download Xtra 90 App



