Mabingwa wa soka Tanzania Bara Yanga leo wanawania rekodi ya kutinga fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika watakapowakabili Marumo Gallants katika mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali utakaopigwa uwanja wa Royal Bafokeng huko Afrika Kusini
..... download Xtra 90 App



