Tottenham wanaweza kuchukua hatua ya kushangaza kwa kumnunua mlinda lango wa Chelsea kutoka Senegal Edouard Mendy, 31, huku wakitafuta mbadala wa mlinda mlango wa Ufaransa Hugo Lloris, 36, ambaye mkataba wake unamalizika mwishoni mwa msimu huu. (Sun)
..... download Xtra 90 App



