Wydad yatinga fainali Ligi ya Mabingwa Afrika

Joel JJ By Joel JJ β€’ 20th May 2023


Wydad yatinga fainali Ligi ya Mabingwa Afrika

Wydad Casablanca imetinga fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya sare ya mabao 2-2 ugenini dhidi ya Mamelodi Sundowns

Wydad imesonga mbele kwa faida ya mabao ya ugenini baada ya suluhu ya bila kufungana kwenye mchezo wa kwanza

Wydad Casablanca inayonolewa na aliyewahi kuwa mkufunzi wa Simba Sven Vandenbroeck, inakutana na Al Ahly ya Misri kwenye fainali kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuifunga kwenye fainali ya msimu uliopita


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.