Jana Bodi ya Ligi (TPLB) ilitoa orodha ya wachezaji watano wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Ligi Kuu kwa msimu wa 2022/2023 ambao umebakisha mechi mbili kumalizika
Tuzo ya mchezaji bora wa ligi kuu wanaowania ni Mzamiru Yassin, Fiston Mayele, Bruno Gomes, Djigui Diarra, Saido Ntibazonkiza
Kipa bora wanaowania Aishi Manula, Djigui Diarra, Benedict Haule. Kwa upande wa beki bora wa mwaka kuna Dickson Job, Henock Inonga, Bakari Mwamnyeto, Shomari Kapombe, Mohammed Hussein
Kiungo bora wanaowania ni Bruno Gomes, Mzamiru Yassin, Stephane Aziz Ki, Clatous Chama , Saido Ntibazonkiza. Kocha bora wa mwaka wanaowania Nasreddine Nabi, Hans Pluijm, Roberto Oliveira
Klabu za Simba na Yanga zimetoa idadi kubwa ya wachezaji wanaowania tuzo mbalimbali msimu huu





