Bodi ya Ligi yabadili ratiba

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st May 2023


Bodi ya Ligi yabadili ratiba

Bodi ya Ligi Kuu imesogeza mbele mechi mbili za kuhitimisha msimu huu zilizopaswa kupigwa May 24 na May 28

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Bodi mapema leo, mechi hizo sasa zitapigwa Juni 06 na Juni 09


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.