Yanga - Local

Marumo washuka daraja Afrika Kusini

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 May 2023
Marumo washuka daraja Afrika Kusini

Marumo Gallants kutoka ligi kuu ya Afrika Kusini wameshuka daraja baada ya kupoteza mchezo wao wa mwisho wa ligi Kuu dhidi ya Swallows kwa kufungwa Magoli 2-

Katika mchezo huo uliopigwa jana, Marumo walihitaji ushindi ili wafikishe alama 32 ambapo zingewaweka salama

Timu hiyo iliwashangaza wengi kwa kufanikiwa kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika lakini safari yao ikaishia mikononi mwa Yanga kwa kuchabangwa jumla ya mabao 4-1 katika mechi zote mbili za nusu fainali

Marumo na Mameloi Sundowns zimeondoshwa katika mashindano ya CAF hatua ya nusu fainali

Mamelodi waliokuwa wakipewa nafasi kubwa ya kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa waliondoshwa na Wydad Athletic kwa faida ya mabao ya ugenini baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 nyumbani

Mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa Morocco ulimalizika kwa suluhu ya bila kufungana

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’