Baada ya ushindi dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika Kusini uliowahakikishia kutinga fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika, leo Yanga inawania fainali nyingine katika mchezo wa nusu fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) dhidi ya Singida BS ambao utapigwa saa 9:30 alasiri
..... download Xtra 90 App



