Yanga imetinga fainali ya kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Singida BS katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa uwanja wa LITI
Fiston Mayele alihitaji dakika 15 kuwa uwanjani na kuipeleka Yanga fainali kwa bao muhimu
Fainali sasa ni kati ya Yanga dhidi ya Azam Fc na itapigwa uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga








