Yanga yaichapa Singida BS 1-0, yatinga fainali FA

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st May 2023


Yanga yaichapa Singida BS 1-0, yatinga fainali FA

Yanga imetinga fainali ya kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Singida BS katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa uwanja wa LITI

Fiston Mayele alihitaji dakika 15 kuwa uwanjani na kuipeleka Yanga fainali kwa bao muhimu

Fainali sasa ni kati ya Yanga dhidi ya Azam Fc na itapigwa uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.