Napoli - International - Transfer

Napoli yamtaka Luis Enrique

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 May 2023
Napoli yamtaka Luis Enrique

Baada ya taarifa ya Luciano Spalletti kuondoka Napoli, timu hiyo imeanza mazungumzo na kocha wa zamani wa Barcelona, Luis Enrique kuchukua nafasi hiyo.

Taarifa ya mwandishi wa habari wa michezo, Fabrizio Romano imeeleza kuwa majadiliano ya Napoli na Enrique yanaendelea.

Msimu unakaribia kuisha na timu hiyo tayari imetwaa ubingwa wa Serie A hata hivyo imeripotiwa baadhi ya klabu zinahitaji saini ya Enrique.

Romano amesema kuwa kuondoka kwa Spalletti klabuni hapo kunatoa nafasi kwa baadhi ya klabu kubwa Ulaya kuhitaji huduma yake

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
15h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
21h ago
READ MORE β†’