Nahodha wa Manchester City Ilkay Gundogan yuko mbioni kujiunga na Barcelona mkataba wake utakapokamilika msimu huu wa joto, huku klabu hiyo ya La Liga ikimshawishi kiungo huyo wa kati wa Ujerumani, 32, kwa ofa ya mkataba wa miaka mitatu. (Sport - kwa Kihispania)
..... download Xtra 90 App



