Simba - Local

Simba yaipania Polisi Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 Jun 2023
Simba yaipania Polisi Tanzania

Kocha Msaidizi wa Simba Juma Mgunda amesema maandalizi kuelekea mchezo wa ligi kuu dhidi ya Polisi Tanzania yamekamilika

Akizungumza katika Mkutano na Wanahabari mapema leo, Mgunda alisema Simba inauchukulia mchezo huo kwa uzito sawa na michezo mingine waliyocheza kabla

"Mchezo wa kesho ni muhimu kama ilivyo mechi nyingine, ingawa matokeo hayatabadili chochote kwetu lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda"

"Wachezaji wote wako tayari kwa mchezo wa kesho isipokuwa Clatous Chama na Sadio Kanoute ambao wanatumikia adhabu. Tunajua itakuwa mechi ngumu lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda," alisema Mgunda

Mchezo huo utapigwa kesho Jumanne, saa 1 usiku katika uwanja wa Azam Complex

Ni moja ya mechi mbili za kuhitimisha msimu mchezo wa mwisho ni dhidi ya Coastal Union siku ya Ijumaa

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
5h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
5h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
9h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
13h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
15h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
16h ago
READ MORE β†’