Mchezaji wa Manchester City Ilkay Gundogan, 32, huenda akarejea Borussia Dortmund msimu huu wa joto kwa sababu Barcelona hawana uwezo wa kulipa mshahara wa kiungo wa kati wa Ujerumani ambaye mkataba umemalizika. (Bild - kwa Kijerumani)
..... download Xtra 90 App



