Yanga - Simba - Azam - Singida - Local

Ligi Kuu NBC inafika tamati leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Jun 2023
Ligi Kuu NBC inafika tamati leo

Ligi Kuu ya NBC 2022/23 inafika tamati leo kwa timu zote 16 kushuka viwanjani majira ya saa 9:30 Alasiri

Tayari timu nne za juu ya msimamo na timu mbili za chini ya msimamo zimefahamika

Yanga, Simba, Azam Fc na Singida BS zimejihakikishia kumaliza nafasi nne za juu ambapo Yanga watakabidhiwa ubingwa baada ya mchezo dhidi ya Tanzania Prisons

Polisi Tanzania na Ruvu Shooting zimemaliza nafasi mbili za chini na hivyo zimeshuka daraja moja kwa moja

Hatma ya timu mbili zinazokwenda kucheza play-off itafahamika baada ya mechi za leo

Mbeya City na KMC zitachuana katika mchezo ambao utaamua kama zote zitacheza play-off au mshindi atanusurika?

Mtibwa Sugar nayo itahitaji kushinda dhidi ya Geita Gold ili kujihakikishia usalama wakati Coastal Union ambayo iko ugenini uwanja wa Uhuru dhidi ya Simba nayo iahitaji ushindi au alama moja ili kuwa salama

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
3h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
3h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
4h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
7h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
11h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
11h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
12h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
12h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
13h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
14h ago
READ MORE β†’