Swali kubwa ambalo mpaka sasa halina majibu huko barani Ulaya ni kwamba wapi ataelekea mshambuliaji Kylian Mbappe kutoka Paris Saint Germain, badaa ya taarifa kuwa klabu hiyo inapanga kumuuza Mfaransa huyo msimu huu wa joto
..... download Xtra 90 App



