Juzi baada ya mchezo wa fainali kombe la Shirikisho la Azma (ASFC) dhidi ya Azam Fc ambao Yanga iliibuka mabingwa kwa ushindi wa bao 1-0 katika uwanja wa Mkwakwani, Rais wa Yanga Injinia Hersi Said aliweka bayana maboresho ambayo mabingwa hao wa nchi watafanya kuelekea msimu ujao
..... download Xtra 90 App



