Yanga - Local

Yanga yasaka mbadala wa Nabi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 Jun 2023
Yanga yasaka mbadala wa Nabi

Klabu ya Yanga imeanza mchakata wa kusaka kocha mpya ambaye atarithi mikoba ya Nasreddine Nabi aliyetimkia Kaizer Chiefs

Zilianza kama tetesi lakini ni rasmi Yanga imethibitisha kuwa Nabi ameondoka baada ya kuutaarifu uongozi kuwa hataongeza mkataba

Aidha Yanga huenda ikalazimika kusuka upya benchi lake la ufundi kwani taarifa kutoka Afrika Kusini zimebainisha kuwa kocha huyo ameitarifu Kaizer Chiefs kuwa anakwenda na wasaidizi wake

Klabu ya Yanga imemtakia Nabi kila la kheri, Wananchi wataendelea kukumbuka mafanikio makubwa aliyoipatia Yanga katika misimu yake miwili

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
4h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
4h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
8h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
12h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
14h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
15h ago
READ MORE β†’