Yanga - Simba - Azam - Local

Viingilio; Stars vs Niger, Afcon 2023 Qualifiers

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Jun 2023
Viingilio; Stars vs Niger, Afcon 2023 Qualifiers

Kesho Jumapili Juni 18 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, Tanzania tuna jambo letu la kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya Afcon 2023

Ni mchezo dhidi ya Niger ambao Tanzania inazihitaji alama zote tatu ili kuweka hai matumaini ya kufuzu kwa michuano hiyo itakayofanyika Ivory Coast mwanzoni mwa mwaka 2024

Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) limeweka hadharani viingilio vya mchezo huo utakaopigwa saa 10 jioni

Mzunguuko ni Tsh 3,000/- tu wakati VIP B na C ni Tsh 10,000/-

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’