Simba - Yanga - Azam - Taifa Stars - Tanzania - Local

Tanzania yaichapa Niger 1-0

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Jun 2023
Tanzania yaichapa Niger 1-0

Tanzania imeweka hai matumaini ya kufuzu Afcon 2023 baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Niger katika mchezo uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa

Bao pekee la Stars lilifungwa na Saimon Msuva aliyemalizia krosi ya Novatus Dismas kutoka upande wa kushoto

Tanzania ilitengeneza nafasi nyingi kwenye kipindi cha kwanza huku Niger wakija juu katika kipindi cha pili lakini wachezaji wa Stars walikuwa imara kuhakikisha alama zote tatu zinabaki Tanzania

Stars imefikisha alama 7 katika msimamo wa kundi F ikiwa nafasi ya pili mbele ya Uganda yenye alama nne ikitarajiwa kuchuana na Algeria baadae leo

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’