Mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Zuber Homera amesema kuwa kuelekea mchezo wa marudiano kati ya Mbeya City dhidi ya Mashujaa hatua ya mtoano(play off) hakutakuwa na kiingilio ili kutoa nafasi kwa mashabiki kuingia kwa wingi uwanjani na kuipa hamasa timu yao
..... download Xtra 90 App



