Manchester United wameungana na Arsenal kutika mbio za kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Declan Rice, 24, kutoka West Ham, huku Red Devils wakizingatia mkataba wa mchezaji pamoja na pesa inayomhusisha mlinzi wa Uingereza Harry Maguire, 30, au kiungo wa Scotland Scott McTominay, 26. (Telegraph - usajili unahitajika)
..... download Xtra 90 App



