JKT - Simba - Local - Transfer

Dilunga aikacha Simba, atua JKT Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 Jul 2023
Dilunga aikacha Simba, atua JKT Tanzania

Licha ya kurejeshwa na kufanya mazoezi katika kikosi cha Simba mwishoni mwa msimu uliopita, kiungo mshambuliaji Hassan Dilunga amejiunga na JKT Tanzania

Dilunga alikuwa miongoni mwa wachezaji ambao Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira alipendekeza wasajiliwe na timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao

Hata hivyo ofa nono ya JKT Tanzania imemshawishi Dilunga kuwakacha wekundu hao wa Msimbazi na kuibukia kwa maafande

Dilunga alikuwa nje msimu mzima uliopita akiuguza majeraha ambayo alipata wakati akiitumikia Simba mwishoni mwa msimu wa 2021/22

Baada ya kurejea kwenye Ligi Kuu, JKT Tanzania inajiimarisha ili kuhakikisha inaleta ushindani

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’